Sunday 6 January 2013

JOSHUA WAIGANJO SAGA IN KISWAHILI


HABARI ZA DHARURA KUTOKA KWA DAKTARI JARUNDA

Aliajiriwa na Iteere;
Familia ya 'PPO' yadai Familia ya Joshua Waiganjo,
mshukiwa anayezuiliwa na
polisi kwa kudai kuwa naibu
PPO mkoani Rift Valley, imedai
kwamba mwanao aliajiriwa
na Kamishna wa polisi kuwa polisi wa akiba na baadaye
kupandishwa cheo kwa
haraka. Babake mshukiwa
huyo Ibrahim Waiganjo
ambaye ni afisa mustaafu wa
polisi na sasa ni mhubiri amesema kwamba mwanaye
amekuwa akiihudumia idara
ya polisi kwenye wadhifa wa
polisi wa akiba kwa muda.
Amesema aliachishwa kazi
wakati wa muhula wa Kamishna Hussein Ali lakini
alipokuja Mathew Iteere,
alimwajiri tena kwenye
huduma iyo hiyo ya polisi wa
akiba. Amesema ni wakati
huo ndipo alipandishwa cheo kufikia naibu mkuu wa polisi
mkoani. Waiganjo amesema
hayo kwenye kikao na
wanahabari nyumbani kwake
Njoro ambapo pia ametoa
picha zinazoonyesha baadhi ya wakuu wa polisi wakiwa
na mwanaye
HABARI ZA DHARURA KUTOKA KWA DAKTARI JARUNDA

Aliajiriwa na Iteere;
Familia ya 'PPO' yadai Familia ya Joshua Waiganjo,
mshukiwa anayezuiliwa na
polisi kwa kudai kuwa naibu
PPO mkoani Rift Valley, imedai
kwamba mwanao aliajiriwa
na Kamishna wa polisi kuwa polisi wa akiba na baadaye
kupandishwa cheo kwa
haraka. Babake mshukiwa
huyo Ibrahim Waiganjo
ambaye ni afisa mustaafu wa
polisi na sasa ni mhubiri amesema kwamba mwanaye
amekuwa akiihudumia idara
ya polisi kwenye wadhifa wa
polisi wa akiba kwa muda.
Amesema aliachishwa kazi
wakati wa muhula wa Kamishna Hussein Ali lakini
alipokuja Mathew Iteere,
alimwajiri tena kwenye
huduma iyo hiyo ya polisi wa
akiba. Amesema ni wakati
huo ndipo alipandishwa cheo kufikia naibu mkuu wa polisi
mkoani. Waiganjo amesema
hayo kwenye kikao na
wanahabari nyumbani kwake
Njoro ambapo pia ametoa
picha zinazoonyesha baadhi ya wakuu wa polisi wakiwa
na mwanaye
hours ago · 

No comments:

Post a Comment